Suivant

Chama cha ODM kimetoa wito kwa serikali kutochukulia urafiki wa kisiasa kati yao na Raila Odinga

23/09/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Chama cha ODM kimetoa wito kwa serikali kupitia chama tawala cha UDA kutochukulia urafiki wa kisiasa kati yao na Raila Odinga kama fursa ya kujitengenezea umaarufu katika ngome za upinzani. ODM imesisitiza kuwa watahakikisha wanasimamisha wagombea katika chaguzi ndogo zote nchini, pia wamekanusha madai ya kupanga kuunga mkono UDA au kushirikiana nao katika chaguzi hizo.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant