Suivant

Changamoto zinazotakana na mabadiliko ya tabia nchi

14/07/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Asilimia 80 ya kenya huwa ni sehemu kame. Kufuatia mabadiliko ya tabia nchi, matumizi mabaya ya raslimali asili na shughuli za kibinadamu, maeneo mengi yanakabiliwa na tishio la kuwa jangwa. Iwapo hali hiyo itaendelea, huenda ardhi ya kenya ikawa jangwa. lakini ni kipi cha kufanya kudhibiti hali?

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant