Suivant

Familia Kitengela inaomboleza kifo cha mwana wao wa umri wa miaka 32 aliyeuawa na mumewe

30/09/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Familia huko Kitengela inaomboleza kifo cha mwana wao wa umri wa miaka 32 aliyeuawa kinyama na mumewe baada ya ugomvi wa kinyumbani. Familia hiyo sasa imetoa wito kwa idara ya usalama kuharakisha uchunguzi kuhusu mauaji hayo ili mwana wao Lucy Wamabui Mathenge apate haki. Mshukiwa wa mauaji, David Njoroge angali anasakwa.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant