Suivant

Gachagaua akashifu hatua ya Rais Ruto kufanya kazi na mrengo wa upinzani

10/03/25
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Naibu rais wa zamani Rigathi Gachagaua amekashifu hatua ya rais William Ruto kufanya kazi na mrengo wa upinzani, akidai kuwa ni njia mojawepo ya kuwakandamiza wakenya. akizungumza kwenye ibada ya kanisa kaunti ya Kajiado, Gachagua amemtaja rais ruto kama msalaiti huku akidokeza kuwa tayari Rais Ruto ameliuza ukumbi wa bomas kwa raia wa kigeni.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant