Suivant

Gachagua aonekana kuikashifu serikali kutokana na kile alichokitaja kama kufeli kwa utekelezaji

28/10/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Naibu rais aliyeng’atuliwa Rigathi Gachagua ameonekana kuikashifu serikali kutokana na kile alichokitaja kama kufeli kwa utekelezwaji wa bima ya afya na utozaji wa ushuru kupita kiasi. Semi zake zinajiri huku mwandani wake wa karibu senata wa Kiambu Karung’o wa Thangwa, akisema kuwa baadhi ya walinzi wake Gachagua wamerejeshwa kazini na serikali

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant