Hali ya utulivu imerejea jijini Nairobi baada ya wiki tatu za maandamano
0
0
04/07/24
Hali ya utulivu imerejea jijini Nairobi baada ya wiki 3 za maandamano, hata hivyo wafanyibiashara walionekana kujipanga kwa kuajiri mabawabu kulinda biashara zao. Haya yakijiri gavana wa Nairobi Johnson Sakaja amesema kuwa kaunti ya Nairobi ilikadiria hasara ya mapato, huku akijitenga na madai ya kuhusika na ufadhili wa wahalifu walioshiriki maandamano.
Montre plus
0 commentaires
sort Trier par