Suivant

Hospitali ya Mama Lucy Kibaki yaripoti kutokuwa na vifo vya kina mama wanapojifungua

22/07/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Hospitali ya Mama Lucy Kibaki imeripoti kutokuwa na vifo vya kina mama wanapojifungua ndani ya miezi minne iliyopita. Mafanikio hayo yameafikiwa kupitia kufanyikia mabadiliko vifaa vya matibabu na kuleta vifaa vya kisasa, pamoja na kuhakikisha akina mama wanazingatia kutembelea kliniki ipasavyo

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant