Suivant

Idara ya utabiri wa hali ya hewa yasema kutakuwa na joto jingi Januari

03/01/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Idara ya hali ya anga imetabiri kuwepo kwa joto jingi mwezi huu wa Januari katika baadhi ya maeneo hapa nchini haswa yale yalioathirika zaidi na mvua za El-Nino. Utabiri huo wa kwanza mwaka huu pia umebaini kuwa mvua iliokuwa ikishuhudiwa huenda ikapotea katika siku zijazo

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant