Suivant

Jubilee yapinga mswada wa fedha

19/06/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Chama cha Jubilee kimeahidi kuunga mkono wakenya kuukataa mswada wa fedha unaopendekezwa wa 2024. Wakiongozwa na katibu mkuu wa Jubilee Jeremiah Kioni, viongozi wa chama hicho wameikosoa serikali kwa kuwatoza wakenya kodi ya mahitaji msingi.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant