Suivant

Kalonzo akemea vikali hatua za serikali

23/09/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Kiongozi wa Wiper, Kalonzo Musyoka, amekemea vikali hatua za serikali, akieleza kwamba utekaji nyara unaofanywa na maafisa wa polisi ni ukiukaji wa haki za kikatiba. Kalonzo alisema kuwa hatua hizo ni njia ya kuendeleza ukatili wa binadamu pamoja na udikteta, na hazikubaliki katika taifa linalofuata sheria. Christine Musa na maelezo zaidi

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant