Suivant

Kalonzo ashikilia kwamba hatayumbishwa na mawimbi ya kisiasa

17/08/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka ameshikilia kwamba hatayumbishwa na mawimbi ya kisiasa. kinara huyo anasema atasimama kidete na kupigania haki za vijana wa Gen-Z. kalonzo vilevile amesema kuwa vyama vyote vya kisiasa nchini vitalazimika kuzingatia sheria ya uwakilishi wa thuluthi moja ya jinsia moja katika shughuli ya mchujo wakati wa uchaguzi.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant