Kalonzo ashikilia kwamba hatayumbishwa na mawimbi ya kisiasa
0
0
17/08/24
Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka ameshikilia kwamba hatayumbishwa na mawimbi ya kisiasa. kinara huyo anasema atasimama kidete na kupigania haki za vijana wa Gen-Z. kalonzo vilevile amesema kuwa vyama vyote vya kisiasa nchini vitalazimika kuzingatia sheria ya uwakilishi wa thuluthi moja ya jinsia moja katika shughuli ya mchujo wakati wa uchaguzi.
Montre plus
0 commentaires
sort Trier par