Suivant

Kinara wa Azimio Raila Odinga aitaja serikali ya Kenya Kwanza kama kero kwa wakenya

01/01/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Kinara wa Azimio Raila Odinga ameitaja serikali ya Kenya Kwanza kama kero kwa wakenya. Katika ujumbe wake wa mwaka mpya kwa wakenya, Odinga ameahidi kuendelea kupigania wakenya gharama ya maisha inapozidi kupanda na hali ya elimu kudorora chini ya uongozi wa rais William Ruto. Odinga anawataka wakenya na mashirika za kiraia waweke tofauti zao na kujitayarisha kwa mapambano mapya ya ukombozi.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant