Maandamano ya kupinga mswada wa fedha ni kesho
0
0
18/06/24
Siku chache tu baada ya kusomwa kwa bajeti ya mwaka wa 2024/2025 na siku mbili kabla ya kupigwa kwa kura ya mswada wa fedha wa 2024 wakenya wengi ambao wametamaushwa na mswada huo wa kifedha sasa wanajikusanya kupitia heshtegi ya reject Finance Bill 2024 katika mitandao ya kijamii huku maandamano ya kupinga mswada huo yakiratibiwa kufanyika kesho nje ya makao ya bunge wakati mswada huo utakua unawasilishwa mbele ya bunge
Montre plus
0 commentaires
sort Trier par