Suivant

Maandamano ya wanafunzi wa Multimedia

19/09/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Wanafunzi wa chuo kikuu cha multimedia wakiongozwa na viongozi wao wametoa ilani ya saa 48 kwa idara ya polisi kuchukulia hatua kali maafisa wa polisi walionaswa kwa video wakimhangaisha mmoja wao hapo jana. Aidha wametaka haki itendeke kwani trevor mathenge ameumizwa vibaya na maafisa wa polisi na sasa anapokea matibabu katika hospitali ilioko rongai. na kama anavyoarifu Antohny Kwemoi tukio hilo la kutamausha lilitokea wakati wanafunzi wa chuo kikuu cha multimedia wakiandamana wakitaka maslahi yao yaboreshwe.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant