Suivant

Madaktari wapeleka malalamishi kwa wizara ya afya

09/07/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Mamia ya madaktari watarajali chini ya muungano wa KMPDU wameapa kutolegeza kamba katika kushinikiza wizara ya afya kutekeleza matakwa yao. Makundi hayo yalikutana nje ya afisi za wizara ya afya (MOH) wakitaka kuajiriwa mara moja baada ya miaka miwili ya kusubiri

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant