Suivant

Madereva watoa himizo baada ya watu 13 kupoteza maisha katika ajali ya barabara

21/08/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Serikali imehimizwa kuanzisha mradi wa kupanua barabara kuu ya Eldoret kuelekea nakuru ili kuzuia ajali za mara kwa mara. Madereva wametoa himizo hilo baada ya watu 13 kupoteza maisha katika ajali ya barabarani iliyohusisha basi la coast bus, basi hilo liligongana na gari aina ya toyota paso katika maeneo ya migaa, kaunti ya nakuru.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant