Suivant

Mamia ya wakazi wa mtaa wa Tudor waandamana kupinga ujenzi wa nyumba za kisas

07/08/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Mamia ya wakazi wa mtaa wa Tudor katika kaunti ya Mombasa wameandamana kupinga ujenzi wa nyumba za kisasa wakidai hawajahusishwa katika mradi huo. Mradi huo unanuia kujenga upya makao ya zamani yanayomilikiwa na serikali ya kaunti huku zaidi ya nyumba 900 zikilengwa kuvunjwa.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant