Suivant

Mbunge Peter Salasya atarajiwa kortini Jumanne wiki ijayo baada ya kuzua vurugu

13/01/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Mbunge wa Mumias mashariki Peter Salasya atarajiwa kuwa kortini Jumanne wiki ijayo baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatia tuhuma za kumshambulia mwakilishi wadi wa Malaha-Isongo katika hafla moja ya mazishi iliyokuwa jana katika kaunti ya Kakamega. Katika video ambayo imekuwa ikisambazwa, Salasya alionekana akimzaba kofi mwakilishi huyo na kuzua vurumai.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant