Suivant

Mgomo wa maafisa wa kliniki uliodumu kwa siku 99 kote nchini wasitishwa

08/07/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Mgomo wa maafisa wa kliniki uliodumu kwa siku 99 kote nchini hatimaye umesitishwa, ila kwa muda tu. Haya yanajiri baada ya muungano wa maafisa wa kliniki kufikia makubaliano na baraza la magavana. Mgomo huo umetatiza kwa kiasi kikubwa huduma za afya hasa katika hospitali za msingi, ambazo zinategemea zaidi maafisa wa kliniki kwa ajili ya utoaji wa huduma bora.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant