Suivant

Msimamo wa Kalonzo kuhusu ushuru

16/08/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka ameonekana kuunga mkono mipango ya waziri wa fedha John Mbadi ya kurejesha bungeni vipengee kadha kwenye mswada wa fedha uliotupiliwa mbali. Kalonzo, hata hivyo amesisitiza kuwa tatizo kuu ni ushuru unaokusanywa kutotumika ipasavyo

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant