Suivant

Naibu Gachagua amtaka rais Ruto kumkinga kutoka kwa mawimbi ya kisiasa

22/09/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Naibu rais Rigathi Gachagua amemtaka rais William Ruto kumkinga kutoka kwa mawimbi ya kisiasa yanayoendelea kumkumba. Semi za Gachagua zinajiri huku tetesi zikiibuka kuwa huenda hoja ya kumtimua kama naibu rais ikawasilishwa bungeni hivi karibuni.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant