Suivant

Nimeumwa Miaka 8 | Nimefanyiwa Operation Mara 23 | Nilikuwa Natembea Natoka Funza Tumboni

01/10/24
CLOUDSMEDIA
Dans Afrique / Tanzanie

"Nimeumwa kwa takribani miaka 8 na nimefanyiwa operation 22 na sijawahi kukaa nyumbani miezi sita na kwa mwaka naweza nikawa nimekaa miezi nane hospital. Operation ya 22 nilikuwa na asilimia 1 ya kutoka nikiwa hai na asilimia 99 sitatoka hai ila nilikubali kufanya na niliamini nitatoka hai na Mungu akanitoa hai na baada ya siku kadhaa niliambiwa natakiwa kufanyiwa operation ya 22 nilishachoka nilikataa ila baadae nilikubali na kufanyiwa nikiamini baada ya hii nitakuwa sawa ila imekuwa tofauti na natakiwa tena kufanyiwa operation ya 23 South Afrika" Hawa akielezea safari yake ya operation mpaka sasa na anahitaji michango ya watanzania ili kuwezesha hili kupitia namba. 0769990045 Carolinhawa Hussein Ebrahim Bounin au 0789095858 Fatma, 0712595858 Carolinhawa Hussein #LeoTena "Natakiwa kufanyiwa operation ya 24 South Afrika na madaktari wameniambia huenda hii ikawa operation ya mwisho hivyo nahitaji msaada kwa Rais wetu Dkt. @samia_suluhu_hassan pamoja na watanzania kuwezesha hili" Hawa Namba ambayo unaweza kutuma mchango wako kwa Malkia huyu ni 0769990045 Carolinhawa Hussein Ebrahim Bounin au 0789095858 Fatma, 0712595858 Carolinhawa Hussein

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant