Suivant

Raila apata wakati mgumu kuhutubia wakaazi katika kaunti ya Kisii baada ya wananchi kuzua vurugu

09/03/25
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Kinara wa ODM Raila Odinga amepata wakati mgumu kuhutubia wakaazi katika kaunti ya Kisii baada ya wananchi kuzua vurugu, huku wakinuua mabango na kuimba nyimbo za kumkataa pamoja.vijana walionyesha peupe kutoridhishwa na uamuzi wa Raila Odinga kufanya mkataba wa ushirikiano na rais William Ruto. Juhudi za gavana wa Kisii Simba Arati kutuliza vijana hao waliomkataa hadharani kinara wa chama chake hazikufua dafu

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant