Suivant

Raila atoa onyo kwa serikali dhidi ya kuendelea na ubomoaji na kutoa ilani za kuhamisha wanainchi

03/05/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Kinara wa muungano wa Azimio la Umoja Raila Odinga, ametoa onyo kwa serikali dhidi ya kuendelea na ubomoaji na kutoa ilani za kuhamisha wananchi bila kutoa maelekezo ya wazi ya wapi watu wanapaswa kuenda. Aidha, Odinga ameiomba serikali kutangaza mafuriko kama janga la kitaifa ili kufungua milango kwa wafadhili kutoa misaada.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant