Suivant

Rais Ruto apanga kufanya uzinduzi rasmi wa ugombea wa Raila Odinga

21/08/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Rais William Ruto anapanga kufanya uzinduzi rasmi wa ugombea wa Raila Odinga wa uenyekiti wa tume ya muungano wa Afrika, AUC, hapo Jumanne juma lijalo. Mkuu wa mawaziri Musalia Mudavadi ametoa tangazo hilo huku akiwataka wakenya waunge mkono azma ya odinga. kwa upande wake odinga amedokeza nia yake ya kutojihusisha na siasa za humu nchini anapojishughulisha na kampeni ya AUC.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant