Ripoti ya utafiti wa shirika la KHRC na Midrift Hurinet kuhusu ukatili wa kijinsia.
0
0
20/03/24
Hali ya kiuchumi imetajwa kama moja ya sababu kuu zinazochangia ongezeko la visa vya dhulma za kijinsia dhidi ya wanawake. Katika ripoti iliyozinduliwa na shirika la kutetea haki za binadamu, KHRC na Midrift Hurinet , wanawake wanne kati ya 10 hukumbwa na angalau aina moja ya ukatili wa kijinsia.
Montre plus
0 commentaires
sort Trier par