Suivant

Serikali ya Kenya yaingilia kati kujaribu kuokoa maisha ya Margaret Nduta Macharia

17/03/25
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Serikali ya Kenya imeingilia kati kujaribu kuokoa maisha ya Margaret Nduta Macharia, mkenya mwenye umri wa miaka 37 aliyehukumiwa kifo nchini Vietnam kwa ulanguzi wa dawa za kulevya na anatazamiwa kunyongwa baadaye leo.Katibu mkuu wa masuala ya kigeni Korir Sing’oei alithibitisha uingiliaji kati huo, kufuatia shinikizo kutoka kwa familia, viongozi na wakenya kuitaka serikali kuchukua hatua

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant