Serilaki yatetea mswada wa fedha
0
0
23/06/24
Msemaji wa serikali Isaac Mwaura ameutetea mswada wa fedha unaoendelea kupingwa na wakenya wengi akisema kuwa mswada huo utasaidia kuinua uchumi wa taifa. Msemaji huyo amelaumu baadhi ya watu ambao hakuwataja kutoka mataifa yaliyoendelea akisema kuwa wameshawishi maandamano ya Gen Z yanashuhudiwa
Montre plus
0 commentaires
sort Trier par