Suivant

Wabunge watakiwa kuweka mgao wa bajeti kwa maendeleo ya miundombinu ya msingi

23/09/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Wabunge wametakiwa kuweka mgao wa bajeti kwa maendeleo ya miundombinu ya msingi na kuweka mbinu za kisera ili kutoa elimu ya bure kamilifu katika elimu ya msingi. Aidha, wanapaswa kuzingatia nafasi yao ya usimamizi na ile ya kuunda sheria. Hii ni kufuatia uamuzi uliotolewa na vikundi vya mashirika ya kiraia kukata rufaa baada ya mahakama kuu kuruhusu matumizi ya hazina ya ngcdf hadi juni mwaka 2026.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant