Suivant

Wachambuzi watoa suluhisho kuhusu visa vya uchomaji mabweni shuleni

22/09/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Kama njia moja wapo ya kushughulikia visa vya uchomaji mabweni shuleni na kupunguza vifo na uharibifu wa mali, wanasaikolojia na wachambuzi wa masuala ya elimu wanapendekeza kushirikishwa kwa wanafunzi na jamii katika maamuzi ya masuala mbali mbali shuleni. Walimu nao wametakiwa wapewe nasaha kuhusu jinsi ya kuwashughulikia wanafunzi kisaikolojia.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant