Suivant

Wanaharakati akiwemo Boniface Mwangi waachiliwa kwa dhamana

27/07/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Wanaharakati watano akiwemo Boniface Mwangi wameachiliwa kwa dhamana ya shilingi elfu ishirini taslimu kila mmoja. Watano hao walifikishwa mahakamani leo baada ya kukamatwa jana na walifunguliwa mashtaka matatu. Wanatuhumiwa kushiriki maandamano kinyume na sheria, kuchapisha taarifa za uongo na uchochezi.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant