Suivant

Watu kadhaa wakamatwa na wengine wauguza majeraha katika kaunti tofauti wakati wa maandamano

24/07/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Waandamanaji zaidi ya 10 wamekamatwa katika kaunti za Kwale,Kajiado na Kisumu,huku wengine wakiuguza majeraha. Shughuli za biashara zililemazwa katika baadhi ya maeneo.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant