Suivant

Watu zaidi ya milioni 300 kote ulimwenguni huathirika na ugonjwa wa osteoarthritis

07/05/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Mtindo mpya wa maisha na lishe duni ni mojawapo ya sababu kuu za kupata uzani, na husababisha shinikizo lisilohitajika katika viungo na hatimaye kusababisha osteoarthritis. Shirika la afya duniani linakadiria kwamba hali hii inaathiri zaidi ya watu milioni 300 kote ulimwenguni. leo, katika makala ya siha yangu. Simulizi ya Bakari Said, ambaye amekumbana moja kwa moja na hali hii ya osteoarthritis.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant