Suivant

Waziri Nakhumicha aonya hospitali za kibanafsi zinazofanya utapeli wa NHIF

03/01/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Ilani imetolewa kwa hospitali za kibinafsi dhidi ya kutoza ada kubwa zaidi kwa wagonjwa wanaotumia kadi za hazina ya kitaifa ya afya NHIF kwa lengo la kujinufaisha wenyewe. Akizungumza baada ya kufanya mkutano na kamati ya hospitali ya kimishenari ya lugulu,waziri wa afya nchini susan nakhumicha amesema kuwa nyingi za hospitali zinatoza hazina hiyo kwa kupeana rekodi za uongo.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant