Suivant

Wizara ya afya imewataka madaktari watarajali kusitisha maandamano yao

10/07/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Wizara ya afya imewataka madaktari watarajali kusitisha maandamano yao ili watoe nafasi kwa mazungumzo. Hata hivyo, madaktari wanaendelea kuandamana nje ya makao makuu ya wizara ya afya jijini Nairobi kwa siku ya pili ya maandamano yao ya kushinikiza serikali kuwapangia kazi madaktari hao kuambatana na mkataba wa pamoja wa mwaka 2017

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant