Suivant

Zaidi ya miili 10 yapatikana imekatwa katwa vipande katika timbo ya Mukuru kwa Njenga

13/07/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Zaidi ya miili 10 ya vijana wengi wao wa kike imepatikana imekatwa katwa vipande na kuwekwa katika mifuko ya plastiki na magunia katika timbo ya Mukuru kwa Njenga, jijini Nairobi. Usiku huu uchunguzi wa mauaji hayo umeanzishwa huku wakaazi wa kwa Mukuru kwa Njenga wakihofia kuwa mauaji yalitekelezwa kwingine na miili kutupwa timboni

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant